MR Shinda Nyumba Afunga Mitaa Kukusanya Kuponi

DAR ES SALAAAM: Mr. Shinda Nyumba, Julius Charles leo Jumamosi amefunga mitaa mbalimbali katika jijini la Dar, wakati akipita kukusanya kuponi za Shinda Nyumba za droo ya kwanza inayotarajiwa kuchezeshwa Februari 8, mwaka huu katika Viwanja vya Mbagala Zakhem jijini Dar.

Wasomaji kibao wa maeneo ya Luhanga, Kigogo, Tabata- Dampo, Bima, Liwiti, Barakuda, Karakata,Vingunguti walimpokea kwa shangwe na furaha tele huku wakilazimisha kufunga mitaa kadhaa ili kupata maelezo na kukusanya kuponi zao kwa Mr Shinda Nyumba.

Akizungumza na baadhi ya wasomaji wa magazeti pendwa ya Kampuni ya Global Publishers, Mr Shinda Nyumba amewataka wasomaji kuendelea kusoma magazeti na kukata kuponi kwa ajili ya kushinda zawadi mbalimbali.
“Nitakuwa napita mtaani kwa ajili yenu wasomaji wetu na mimi nitatoa zawadi ndogondogo kwa kila msomaji ambaye atajaza kuponi za shinda nyumba, pia niwakaribishe katika droo ya kwanza ya Shinda Nyumba itakayofanyika Februari 8, mwaka huu pale Viwanja vya Zakhem-Mbagala jijini Dar,”alisema Mr Shinda Nyumba.
“Nitakuwa napita mtaani kwa ajili yenu wasomaji wetu na mimi nitatoa zawadi ndogondogo kwa kila msomaji ambaye atajaza kuponi za shinda nyumba, pia niwakaribishe katika droo ya kwanza ya Shinda Nyumba itakayofanyika Februari 8, mwaka huu pale Viwanja vya Zakhem-Mbagala jijini Dar,”alisema Mr Shinda Nyumba.


“Nitakuwa napita mtaani kwa ajili yenu wasomaji wetu na mimi nitatoa zawadi ndogondogo kwa kila msomaji ambaye atajaza kuponi za shinda nyumba, pia niwakaribishe katika droo ya kwanza ya Shinda Nyumba itakayofanyika Februari 8, mwaka huu pale Viwanja vya Zakhem-Mbagala jijini Dar,”alisema Mr Shinda Nyumba.





Na Gabriel Ng’osha/GPL


Comments are closed.