Klabu ya Yanga imefanya mazungumzo na golikipa wa Klabu ya FC San Pedro ya nchini Ivory Coast, Tape Eliezer Ira, ili kuja kuwapa changamoto magolikipa wa klabu hiyo Metacha Mnata na Farouck Shikalo.
Global Publishers and General Enterprises Limited is a registered private company dealing in publishing of weekly Swahili newspapers in Tanzania, namely; Uwazi, Ijumaa, Championi, Amani, Risasi & Ijumaa Wikienda.