MSHINDI MWINGINE SPOTI XTRA AKABIDHIWA ZAWADI
Mwandishi wa Spoti Xtra, Khadija Mngwai (kulia) akimkabidhi zawadi ya jezi, Ismail Juma wa Kivule Ilala Dar es Salaam, baada ya kujishindia kwenye bahati nasibu ya shinda na Spoti Xtra.
Ismail Juma akiwa ameshikiria jezi yake ya Chelsea
Comments are closed.