Imearifiwa kuwa, kwa mwaka huu pekee, polisi wamepokea kesi za matukio zaidi ya 60 ya mauaji ambapo 39 ni ya kuchomwa visu na 10 ni ya kupigwa risasi.
Meya wa London, Sadiq Khan amelielezea tukio hilo kuwa ni la kinyama zaidi na limeacha pengo kubwa kwa ndugu na familia huku Mbunge wa Barking, Dame Margaret Hodge kupitia mtandao wa Twitter akitoa salam za rambirambi kwa familia ya marehemu.
CREDIT: BBC NEWS
Comments are closed.