KWA mara ya kwanza mtoto amezaliwa kutoka katika mji wa uzazi (uterus) ambao mama yake alikuwa amepandikizwa mji huo kutoka kwa mwanake aliyekufa. Tukio hilo limetokea katika Hospital das Clínicas kwenye Chuo Kikuu cha São Paulo School of Medicine nchini Brazil.
Comments are closed.