Mtoto wa Mpigania Uhuru: Baba Alizikwa Hapa! – Video
MTOTO wa aliyekuwa mpigania ukombozi wa Afrika Kusini aitwaye David, mkazi wa Morogoro amesimulia maisha yake anayoishi baada ya kuishi kwa muda mrefu pasipokujua ndugu zake.
Kijana huyo anaeleza kuwa inaishukuru serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kwa kuendelea kuwa sambamba na watoto wengine ambao ni kizazi cha wapiganiauhuru wa Afrika Kusini, pia anampongeza Rais wa Afrika Kusini, Cyril Ramaphosa, kwa kuwatembelea huko mkoani Morogoro na kujionea makaburi ya waasisi waliopigania ukombozi wa nchi hiyo.
Comments are closed.