Akizungumza mara baada ya kupiga kura yake, Mtulia amesema atakubaliana na matokeo yoyote yatakayo tangazwa.
Mara baada ya kupiga kura alianza kupita katika vituo mbalimbali vya kupigia kura na kuangalia hali ya usalama na namna ambavyo wananchi wameitika kujitokeza kupiga kura.
Updates zote za uchaguzi wa Kinondoni na Siha utazipata ndani ya Application ya Global Publishers.
Comments are closed.