Mtunisi Ataja Sababu za Kupotea Kwake Kwenye Muvi (Video)
MSANII nyota wa filamu Bongo, Nice Mohammed maarufu kama Mtunisi amefunguka kuwa maisha ya bongo Movies kwa sasa bado ipo vizuri ni kipindi tu, tulikuwa kimiya tunakuja kivingine na tutafanya vizuri.
Comments are closed.