The House of Favourite Newspapers

MUSUKUMA: Dhahabu Siyo Korosho, Tusiiwekee Masharti Kabisa! – Video

MBUNGE wa Geita, Joseph Kasheku ‘Msukuma‘ ameishauri serikali kuondoa baadhi ya masharti yaliyowekwa kwa wanaoingiza madini ndani ya nchi kutoka nje, ili dhahabu iwe huru kama pesa.

Comments are closed.