Kwa mujibu wa mashuhuda, kivuko hicho kilikuwa na zaidi ya abiria 400 ambapo majeruhi takribani 40 ambao wameokolewa na kupelekwa Kituo cha Afya Bwasha, Ukara kupatiwa matibabu na wengine wengi wakihofiwa kufa maji.
PICHA NA IDD MUMBA | GLOBAL PUBLISHERS, UKEREWE
Comments are closed.