Mwenyekiti Mpya Bodi ya Airtel Atembelea Makao Makuu
MWENYEKITI mpya wa bodi ya Airtel Tanzania, PLC Dkt Omary Nundu, leo Juni 14, 2019, ametembelea makao makuu ya Airtel Tanzania yaliyopo mtaa wa Morocco jijini Dar es Salaam ambapo ameahidi kushirikiana na uongozi wa kampuni hiyo kuhakikisha asilimia 49% ya hisa za kampuni hiyo zinazomilikiwa na Watanzania zinaleta tija.
Comments are closed.