The House of Favourite Newspapers

Breaking News: Mwenyekiti UVCCM Taifa Atengua Uteuzi wa Jokate Mwegelo

Aliyekuwa Kaimu Katibu wa Hamasa na Chipukizi UVCCM Taifa, Jokate Mwegelo.

Kamati ya Utekelezaji ya Umoja wa Vijana wa CCM iliyokutana kwa dharura leo mchana chini ya Mwenyekiti UVCCM, Kheri James imetengua uteuzi wa Kaimu Katibu wa Hamasa na Chipukizi-UVCCM Taifa, Jokate Mwegelo kuanzia leo Machi 25, 2018

Jokate atabaki kuwa mwanachama wa kawaida na nafasi yake itajazwa baadae. Hakuna sababu iliyotolewa juu ya kutengua uteuzi huo.

GLOBAL HABARI: JPM Awalilia Watu 26 Waliokufa Pwani

Comments are closed.