Breaking News: Mwenyekiti UVCCM Taifa Atengua Uteuzi wa Jokate Mwegelo
Kamati ya Utekelezaji ya Umoja wa Vijana wa CCM iliyokutana kwa dharura leo mchana chini ya Mwenyekiti UVCCM, Kheri James imetengua uteuzi wa Kaimu Katibu wa Hamasa na Chipukizi-UVCCM Taifa, Jokate Mwegelo kuanzia leo Machi 25, 2018
Jokate atabaki kuwa mwanachama wa kawaida na nafasi yake itajazwa baadae. Hakuna sababu iliyotolewa juu ya kutengua uteuzi huo.
Comments are closed.