Mwenyekiti UVCCM Taifa, Sadifa, Akamatwa na TAKUKURU
MWENYEKITI wa Umoja wa Vijana wa Chama Cha Mapinduzi (UVCCM) Sadifa Juma Khamis (Mb.) amekamatwa na maofisa Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (TAKUKURU) nyumbani kwake eneo la Mnada wa Zamani, Dodoma, akidaiwa rushwa kwa wajumbe wa mkutano mkuu wa UVCCM Taifa kutoka Mkoa wa Kagera kwa ajili ya mkutano mkuu unaotarajiwa kufanyika Dodoma.
Comments are closed.