The House of Favourite Newspapers

MWENYEKITI WA CCM RAIS MAGUFULI ATEMBELEA OFISI YAKE LUMUMBA DAR

Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Dkt. John Magufuli akisalimiana na Makamu Mwenyekiti wa CCM (Bara) Philip Mangula katika Ofisi Ndogo za chamahicho, Mtaa wa Lumumba jijini Dar es Salaam.
…Akiongea na  Mangula.
…Akitoka katika ofisi hizo.  Wa tatu kushoto (mwenye kanzu) ni  Katibu Mkuu wa CCM Abdulrahman Kinana
…Akiagana na viongozi hao wa CCM..

MWENYEKITI wa Chama cha Mapinduzi (CCM)  Dkt. John Magufuli jana alitembelea Ofisi Ndogo za chama hicho Mtaa wa Lumumba jijini Dar es Salaam, kuona shughuli mbalimbali za chama hicho zinavyoendeshwa ikiwa ni pamoja na kutembelea ofisi yake ambapo aliongea na  Makamu Mwenyekiti wa CCM (Bara) Philip Mangula na Katibu Mkuu wa chama hicho Abdulrahman Kinana.

PICHA NA IKULU

 

Comments are closed.