Video: Mwili Wa Mtanzania Aliyefia Ukraine Waagwa Nyumbani Kwao Dar, Umati Wajitokeza
MWILI wa Raia wa Tanzania, Nemes Tarimo aliyefia vitani Ukraine umewasili nchini asubuhi ya leo Januari 27, 2022 ukitokea Urusi umeagwa nyumbani kwao Mbezi kwa Msuguri.