MWILI WA RUGE MUTAHABA WAWASILI BUKOBA (PICHA +VIDEO)
Mamia ya wakazi wa Bukoba na vitongoji vinavyoizunguka Wilaya hiyo wamejitokeza kwa wingi kuupokea Mwili wa aliyekuwa Mkurugenzi wa Vipindi na Uzalishaji wa Clouds Media, Ruge Mutahaba.
Kamati ya Maandalizi chini ya Ofisi ya Mkuu wa Mkoa inasema imejipanga kuupokea ugeni huo mkubwa.
(Picha na Abdullaif Yunus Global Publishers, Bukoba)
Comments are closed.