MWILI wa aliyekuwa kiongozi wa waasi nchini Angola. Jonas Savimbi, aliyeuawa mwaka 2002, unatarajiwa kufukuliwa mwezi ujao kwa ajili ya vipimo vya DNA.
Savimbi alifariki wakati wa mapigano kati ya kundi lake na majeshi ya serikali miaka 27 iliyopita na alizikwa katika jimbo la Moxico lililopo mashariki mwa nchi hiyo.
Wiki sita baada ya kifo chake kundi lake lilisaini mkataba wa amani na majeshi ya serikali.
Comments are closed.