Nafasi Ya Kazi Halmashauri Ya Wilaya Ya Same
Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Same amepokea Kibali cha Ajira Mpya kutoka kwa Katibu Mkuu – ofisi ya Rais Menejiment ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora kupitia baru ayenye Kumb. Na. FA.228/613/01F/072 ya tarehe 10.03.2025. Hivyo anakaribisha maombi ya kazi kutoka kwa Watanzania wenye sifa za kujaza nafasi tajwa hapo chini.
Mwisho wa kutuma maombi ya kazi ni tarehe 11 Mei, 2025.