The House of Favourite Newspapers

Nafasi za Kazi 30 MDAs & LGAs, MHANDISI DARAJA LA II (UMEME)

0

POST MHANDISI DARAJA LA II (UMEME) – 30 POST
EMPLOYER MDAs & LGAs
APPLICATION TIMELINE: 2023-04-19 2023-04-25
JOB SUMMARY N/A
DUTIES AND RESPONSIBILITIES i. Atafanya kazi chini ya uangalizi wa Mhandisi aliyesajiliwa na Bodi ya Usajili ya Wahandisi (Professional Engineer) ili kupata uzoefu unaotakiwa;

ii.Kufanya kazi kwa vitendo katika fani ya umeme ili kumuwezesha kupata sifa za kutosha kusajiliwa na Bodi ya Usajili wa Wahandisi;

iii.Kukusanya taarifa na takwimu kuhusu vifaa vya umeme na mitambo mbalimbali ndani na nje ya nchi;

iv.Kupitia mapendekezo ya miradi (project proposals) mbalimbali ya ufundi na umeme yanayowasilishwa Wizarani; na

v.Kufanya kazi nyingine atakazopangiwa na Msimamizi wake wa kazi.

QUALIFICATION AND EXPERIENCE Kuajiriwa wahitimu wa kidato cha  Nne/sita waliofuzu  Mafunzo  ya  Shahada/ Stashahada ya Juu katika fani ya Uhandisi Umeme (Bachelor of Science in Electrical Engeneering) kutoka katika vyuo vinavyotambuliwa na Serikali na wawe wamesajiliwa na Bodi ya Usajili ya Wahandisi(ERB)
REMUNERATION TGS.E

BONYEZA HAPA KUTUMA MAOMBI

Leave A Reply