KAMPUNI ya Dar Live iliyopo Mbagala Zakhem jijini Dar es Salaam inayojishughulisha na burudani, ukumbi wa sherehe n.k, inatangaza nafasi za kazi kwa wahudumu wa baa.
Sifa
- Jinsia yoyote, umri kuanzia miaka 20-35.
- Awe na ujuzi na uzoefu usiopungua miaka miwili katika kazi hii
- Awe na uwezo wa kujisimamia, kujituma na muaminifu katika kazi.
- Awe tayari kufanya kazi kwa muda wa ziada.
MAOMBI:
Maombi yaletwe haraka kwenye Ofisi za Global Publishers zilizopo Bamaga- Mwenge kabla ya Januari 31, 2017 au yatumwe kwa meneja Mwajiri, Dar Live Ltd, S.L.P 7535 Dar es Salaam
Comments are closed.