The House of Favourite Newspapers

Nafasi Za Kazi Halmashauri Ya Wilaya Ya Kyerwa, Mwisho wa kutuma Julai 13

Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Kyerwa amepokea kibali cha Ajira chenye Kumb. Na. FA.97/288/01/A/25 cha tarehe 29/4/2025 kutoka kwa Katibu Mkuu OR – Utumishi. Hivyo anapenda kuwatangazia watanzania wote wenye sifa kutuma maombi ya nafasi mbalimbali kama zilivyoainishwa kwa kuzingatia sifa tajwa:-

Mwisho wa kutuma maombi ni tarehe 13 Julai, 2025