The House of Favourite Newspapers
gunners X

Nafasi za Kazi 465 MDAs & LGAs, Mwisho wa kutuma maombi Jan 20, 2025

0

Katibu wa Sekretarieti ya Ajira Katika Utumishi wa Umma, kwa niaba ya Wizara, Idara zinazo jitegemea, Wakala za Serikali, Tawala za Mikoa na Mamlaka za Serikali za Mitaa (MDAs & LGAs) anakaribisha maombi ya kazi kutoka kwa Watanzania wenyesifa na uwezo wa kujaza nafasi Mia nne sitini na tano (465) kama ilivyoainishwa katika tangazo hili.

-TABIBU MSAIDIZI DARAJA LA II (CLINICAL ASSISTANT II) NAFASI – 141
-DOBI (LAUNDERER) – NAFASI 3
-FIZIOTHERAPIA DARAJA LA II (PHYSIOTHERAPIST II) NAFASI – 40 POSTS
-TABIBU WA KINYWA NA MENO DARAJA LA II (DENTAL THERAPIST II) –NAFASI 75
-AFISA FIZIOTHERAPIA DARAJA LA II (PHYSIOTHERAPY OFFICER II) – NAFASI 6
-AFISA AFYA MAZINGIRA MSAIDIZI DARAJA LA II (ASSISTANT ENVIROMENTAL HEALTH OFFICER II) – NAFASI 50
-MHANDISI VIFAA TIBA DARAJA LA II (BIOMEDICAL ENGINEER II) –NAFASI 2
-MTEKNOLOJIA WA RADIOGRAFA DARAJA II-RADIOLOJIA
(RADIOGRAPHY TECHNOLOGIST II – RADIOLOGY) – NAFASI 35
-AFISA USTAWI WA JAMII II (SOCIAL WALFARE OFFICER) NAFASI 5
-AFISA MAENDELEO YA JAMII DARAJA II (COMMUNITY DEVELOPMENT OFFICER GRADE II) – NAFASI 5

Mwisho wa kutuma maombi ya kazi ni tarehe 20 Januari, 2025

Soma zaidi hapa nafasi zilizotangazwa hapa >>>NAFASI ZA KAZI MDAs & LGAs

LEMA AMGEUKA MBOWE HADHARANI – AMUUNGA MKONO LISSU – AMSHAMBULIA MBOWE kwa MANENO MAZITO….

Leave A Reply