MBUNGE wa Maswa Magharibi, Mashimba Ndaki, akichangia hoja katika bajeti ya Wizara ya Kilimo amepinga utaratibu wa vyama vya ushirika kujifanya mawakala wa kuuza pamba za wakulima huku akidai viongozi wa vyama hivyo wamekuwa wakiwanyonya wakulima na kujinufaisha wenyewe.
Comments are closed.