The House of Favourite Newspapers

Ndemla Atambulishwa Mtibwa Sugar – Picha

0

Klabu ya Mtibwa Sugar ya Turiani mkoani Morogoro, imefanikiwa kupata saini ya kiungo fundi mwenye uwezo wa kupiga mashuti ya mbali, Said Hamis Ndemla kutoka Simba Sc kwa mkopo wa mwaka mmoja.

Leave A Reply