The House of Favourite Newspapers

Ndugai Amjibu Mbowe Kuhusu Sh. 43M za Wabunge Kumtibu Lissu

0
Spika Job Ndugai na Freeman Mbowe (Picha na maktaba).

OFISI ya Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania imeijibu kauli ya Mwenyekiti wa Chadema, Freeman Mbowe ambaye mapema leo akizungumza na wanahabari alisema Spika Job Ndugai amezuia Sh. Milioni 43 zilizochangwa na wabunge kusaidia matibabu na Mbunge wa Singida Mashariki, Tundu Lissu anayetibiwa Nairobi Kenya baada ya kupigwa risasi.

Ofisi hiyo imeeleza katika taarifa yake kwa vyombo vya habari kuwa, michango ya wabunge kusaidia matibabu ya Tundu Lissu tayari zimeshatumwa Nairobi Hospital anakotibiwa mbunge huyo.

Taarifa ya ofisi ya Spika inasema kuwa fedha hizo zimetumwa siku ya tarehe 20 Septemba, 2017 kupitia benki ya Barclays Tawi la Huriringham akaunti namba 045 11553318.

 

Mbowe: Ndugai Hajatoa Tsh. 43M Michango ya Wabunge Kumtibu Lissu

Leave A Reply