The House of Favourite Newspapers

NEC Yatangaza Uchaguzi Mdogo Kata Sita

Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) imetangaza uchaguzi mdogo wa madiwani katika kata nyingine sita utafanyika Februari 17, 2018.

Kata hizo ni:
Buhangaza (Muleba )
Kanyelele (Misungwi)
Mitunduruni (Singida)

Kata nyingine ni Kashashi, Gararagua na Donyomuruak za Siha, Kilimanjaro ambazo madiwani wake wamejiuzulu hivi karibuni.

TBC: Mvua Yazidi Kusababisha Maafa Dodoma

Comments are closed.