The House of Favourite Newspapers

Nimemfumania Mume Wangu Kwenye Madanguro, Tena Nikiwa Mjamzito

0

 

Kwa kawaida mwanamke akiwa mjamuzito hutaka kuonyeshwa upendo wa hali ya juu kwani wakati huo hupitia changamoto nyingi kutokana na mabadiliko katika mwili wake yanayoletwa na kiumbe kilichopo tumboni.

Hii ilikuwa tofauti kabisa kwa mume wangu, nilipokuwa na ujauzito wa miezi sita mambo yalibadilika sana kutokana na mimi kushindwa kumpatia haki yake ya ndoa kutokana na hali yangu, sikupenda iwe hivyo ila ni jambo lilokuwa nje ya uwezo wangu.

Basi alitumia fursa hiyo na kuanza kulala nje kila mara, alinieleza bila kunificha kwamba alifanya vile kwa sababu alikuwa na tamaa ya kukutana na mwanamke kimwili na mimi sikuwa tayari kumtimizia haja zake.

Nilihisi uchungu sana moyoni mwangu kwa sababu sikutarajia mume wangu niliyekuwa namthamini angeweza kufanya vitu vya ovyo kama vile, ukweli tabia hiyo ilinipa msongo wa mawazo kwani nilifikiria hadi kujitoa uhai.

Hata hivyo, marafiki zangu walinieleza kuwa lilikuwa ni suala la kawaida kwa wanaume wote kufanya vile na mimi sikuwa wa kwanza kukumbwa na jambo kama hilo lakini jinsi muda ulivyokuwa ukisonga ndipo mambo yalipokuwa yakienda mrama!.

Siku noja nilipokuwa nikipita kwenye vitongoji duni nilishtushwa na sauti za watu waliokuwa wakifanya mapenzi, nilipokaribia nilisikia sauti kama ya mume wangu. Mwanadada yule alionekana kuwa kahaba kwani alimwambia afanye haraka kwani muda wa pesa alizompa ulikuwa umeisha na alitaka mume wangu aharakishe au aongeze pesa.

Hivyo nilifahamu mume wangu alikuwa na tabia ya kulala madanguroni na makahaba akijiburudiusha, jambo hilo ndilo hasa lilikuwa hadi linamchelewesha kurudi nyumbani, kila aliporudi alikuta watoto wameshalala.

Siku moja rafiki yangu Wanjiru aliniambia kuwa mume wake aliwahi kuwa na tabia kama hiyo ila African Doctors walimsaidia na mume wake akatulia kabisa ndani ya nyumba

Alinipa namba za African Doctors na kuwasiliana nao, walinihoji kwa muda na wakanishughulikia baada ya muda mfupi tu, walinipa mafuta na kunishauri niyapake katika mavazi ya mume wangu baada ya kurudi nyumbani.

Niliporudi nyumbani nilifanya jinsi walivyoniambia, nilipaka mafuta yale kwenye kila nguo ya mume wangu zikiwemo nguo za ndani, usiku ule hakulala nyumbani kwa hivyo nilipata fursa nzuri ya kufanya jambo hilo.

Baada ya siku moja, mume wangu alikuja nyumbani huku akionekana mdhaifu ajabu, baada ya dakika kama 20  hivi machozi yalimdondoka huku akisema anajutia mambo aliyokuwa akifanya nje ya ndoa yetu.

Wakati ule nilifahamu fika kwamba yale mafuta ya African Doctors yalikuwa yameshaanza kufanya kazi, alilia nimsamehe nami nikaamua kufanya hivyo. Tangu siku ile mume wangu hajatoka nje ya ndoa yetu kwani African Doctors walikuwa amenipa suluhisho la kudumu.

Kumbuka African Doctors wana uwezo wa kumaliza majini yanayokusumbua, kutatua migogoro ya mashamba na ndoa, pia wana uwezo wa kupandisha biashara yako hadhi, kukusaidia kupata kazi iwapo ulikuwa umekaa muda mrefu bila ya kazi.

Wasiliana na African Doctors kwa namba; +254 769 404965, tembelea tovuti yao; www.african-doctors.com au watumie email; [email protected]

Leave A Reply