The House of Favourite Newspapers

Orodha Ya Washindi wa Tuzo za Muziki Tanzania (TMA) 2024 – Video

0

TUZO za Muziki Tanzania (TMA) zimeendelea kuwa sehemu muhimu ya tasnia ya muziki nchini, zikitoa jukwaa kwa wasanii kuonyesha ubunifu wao na kupewa heshima wanazostahili. Hafla ya mwaka 2024 ilifanyika Oktoba 19, katika ukumbi wa kifahari wa Super Dome, Masaki, Dar es Salaam.

Tuzo hizo, zilizoratibiwa na Baraza la Sanaa la Taifa (BASATA), zilishuhudia ushindani mkali kati ya wasanii, huku kila kipengele kikisubiriwa kwa hamu na mashabiki.

Mwaka huu, TMA zimeweza kuwapa heshima si tu wasanii wakongwe bali pia vipaji vipya vinavyokuja juu katika tasnia ya muziki. Hafla ilifungwa kwa shamrashamra, huku wasanii mbalimbali wakiwapa mashabiki burudani ya moja kwa moja, wakionyesha uwezo wa kipekee walioupamba kwenye muziki wao.

1. Msanii Bora wa Muziki wa Taarab wa Mwaka

Sina Wema – Mfalme Mzee Yusuph – Mshindi

2. Wimbo Bora wa Kanda ya Mashariki, Magharibi, na Kusini mwa Afrika

Lonely At The Top – Asake – Mshindi

3. Msanii Bora wa Kiume

Shuu! – Diamond Platnumz – Mshindi

4. Msanii Bora wa Kike wa Mwaka

Falling – Nandy – Mshindi

5. Wimbo Bora wa Mwaka

Single Again – Harmonize – Mshindi

6. Mwimbaji Bora wa Muziki wa Dansi wa Mwaka

Kanivuruga – Christian Bella – Mshindi

7. Wimbo Bora wa Muziki wa Dansi wa Mwaka

Achii – Diamond Platnumz ft. Koffie Olomide – Mshindi

8. Mtunzi Bora wa Muziki wa Dansi wa Mwaka

Christian Bella – Mshindi

9. Mtunzi Bora wa Mwaka

Marioo – Mshindi

10. Mtayarishaji Bora wa Muziki wa Bongo Flava

S2Kizzy – Mshindi

11. Wimbo Bora wa Bongo Flava wa Mwaka

Mahaba – Alikiba – Mshindi

12. Mwimbaji Bora wa Kike wa Bongo Flava wa Mwaka

Naringa – Zuchu – Mshindi

13. Mwimbaji Bora wa Kiume wa Bongo Flava wa Mwaka

Mahaba – Alikiba – Mshindi

14. Msanii Bora wa Singeli wa Mwaka

Nije Ama Nisije – Dulla Makabila – Mshindi

15. Wimbo Bora wa Singeli wa Mwaka

Kitu Kizito – Rayvanny ft. Misso Misondo – Mshindi

16. DJ Bora wa Mwaka

DJ Ally B – Mshindi

17. Mwimbaji Bora wa Kike wa Mwaka

Nani Remix – Zuchu – Mshindi

18. Mwimbaji Bora wa Kiume wa Mwaka

Shu! – Diamond Platnumz – Mshindi

19. Mtayarishaji Bora wa Muziki wa Mwaka

S2Kizzy – Mshindi

20. Albamu Bora ya Mwaka

Visit Bongo – Harmonize – Mshindi

21. Msanii Chipukizi Bora wa Mwaka

Gibela – Chino Kidd – Mshindi

22. Wimbo Bora wa Hip-Hop wa Mwaka

Current Situation – Country Wizzy – Mshindi

23. Msanii Bora wa Hip-Hop wa Mwaka

Stupid – Young Lunya – Mshindi

24. Ushirikiano Bora wa Mwaka

Enjoy – Jux ft. Diamond Platnumz – Mshindi

Leave A Reply