The House of Favourite Newspapers

PACQUIAO KUNUNUA TIMU YA NBA AKISTAAFU

Bondia huyo ambaye sasa ana umri wa miaka 40 ametengeneza fedha ya kutosha katika masumbwi, hivyo anategemea kuendelea kupigana mnamo miaka mitano ijayo kisha kuning’iniza glovu zake.
“Najihisi kama nina umri wa miaka ya 20 tu,” anasema bondia huyo kwa jina lake maarufu la PacMan au Manny kuonyesha anavyoupenda mchezo huo na mazoezi yanayoambatana nao.

Comments are closed.