×

Majembe Mapya Yanga Yafungukia Fainali ASFC

MAJEMBE mapya ya Yanga, mshambuliaji Fiston Mayele na beki wa kulia, Shabani Djuma, wamefunguka kuwa wataushuhudia mchezo wa fainali ya...

READ MORE

Maelfu Waandamana Kupinga Sheria za Corona

WATU 3,000  wameandamana nchini Italia kupinga sera za afya za serikali wakati kukianzishwa sheria kali za kudhibiti kuenea kwa virusi...

READ MORE

Huku Makambo, Kule Kazadi Kitawaka Ligi Kuu

KWA namna kikosi cha Yanga kinavyosuka kuelekea msimu ujao wa 2021/22, ni wazi wapinzani hawatoki salama kila wakiingiza mguu uwanjani...

READ MORE

Mapito Ya Lulu Yamebeba Funzo Kubwa

Siyo stori kwamba supastaa kiwango kabisa wa Bongo Movies, Elizabeth Michael au Lulu amejaaliwa mtoto wa kiume wikiendi iliyopita.  ...

READ MORE

Video: Mo Dewji Asimulia Alivyotekwa – “Waliniwekea Bastola, Nilihisi Nakufa”…

Mfanyabiashara Mohamed Dewji ‘MO Dewji’ Julai 24, 2021 amekutana na waandishi wa habari kuzungumza kuhusu maendeleo ya Foundation yake, sasa...

READ MORE

RC Mtaka Aiomba Benki ya Exim Kuwawezesha Wakandarasi wa Ndani na Vijana

    MKUU wa Mkoa wa Dodoma Bw. Anthony Mtaka ametoa wito kwa Benki ya Exim Tanzania kuangalia namna ya...

READ MORE

Bongo Dsm: Kijazi Interchange Inavyowaka Usiku, Full Kuteleza -Video

 WAKAZI wa Muda mrefu katika jiji la Dar es salaam wanelewa vizuri kero au adha iliyokuwepo katika makutano ya...

READ MORE

Kajala Atema Nyongo Kwa Wanaomsema Mitandaoni!

SUPASTAA mwenye mvuto kunako Bongo Movies, Kajala Masanja au Mama Paula ametema nyongo laivu.Kajala amesema kuwa, baadhi ya watu wanapoamua...

READ MORE

Kampuni za Simu Zaipongeza Serikali Kufikiria Upya Uamuzi Tozo za Miamala

WATOA huduma za simu nchini wamepongeza uamuzi wa hivi karibuni wa serikali katika kuangalia upya kodi za miamala ya simu...

READ MORE

Meninah Matatani Kifo Cha Mumewe

MSANII wa filamu na Bongo Fleva, Menina Attick ‘Meninah’, ameingia kwenye mkasa na utata mzito baada ya kifo cha mumewe...

READ MORE

Wema: Msiniige Mtaumia, Jifunze Mazuri

STAA mkubwa wa Bongo Movies, Wema Isaac Sepetu anasema kuwa, watu wajifunze mazuri kutoka kwake, lakini wasiwe wanapenda kumuiga kila...

READ MORE

Magazeti ya Leo Jumatatu, Julai 25, 2021

Hapa tumekuanikia kurasa za mbele na za nyuma za magazeti yote ya Tanzania leo Julai 25, 2021. Usipitwe na Matukio,...

READ MORE

Nunua na Soma Gazeti la SpotiXtra na Jarida la Hot Pot kirahisi zaidi hapa

Jipatie nakala ya Gazeti la spotixtra na Jarida la Hot Pot kirahisi zaidi popote ulipo, ndani na nje ya Tanzania...

READ MORE

Nafasi ya kazi KUWASA, Dereva

POST SEWER TRUCK DRIVER I – 1 POST POST CATEGORY(S) DRIVER’S EMPLOYER Kahama Urban Water Supply and Sanitation Authority (KUWASA)...

READ MORE

Tanzania U-23 Yafuzu Nusu Fainali Cecafa

Timu ya Taifa ya Tanzania kwa vijana wenye umri chini ya miaka 23 (U-23) imefuzu kwa hatua ya nusu fainali...

READ MORE

Makamu wa Rais Ashiriki Misa ya Kumbukizi Hayati Mkapa -(Picha +Video)

Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Philip Isdor Mpango, leo Julai 24, 2021 ameshiriki misa ya...

READ MORE

Bil 48.6 Kutumika Kukamilisha Ujenzi wa Vyuo 29 Vya VETA

  Serikali imetenga jumla ya Shilingi bilioni 48.6 kwa ajili ya kukamilisha ujenzi wa vyuo 29 vya Elimu na Mafunzo...

READ MORE

Breaking News: Tanzania Yapokea Chanjo ya Covid-19 Kutoka Marekani

Serikali ya Tanzania, imepokea zaidi ya dozi milioni moja za chanjo ya Covid-19 kutoka nchini Marekani, kupitia Mpango wa Usambazaji...

READ MORE

Mwili wa Waziri Kissinger wa Njenje Watolewa Mochwari

MWILI wa mwimbaji nguli wa muziki wa dansi nchini Waziri Ally Kissinger umetolewa katika Hospitali ya Mwananyamala jijini Dar es...

READ MORE