Yusuph Jackson Akabidhiwa Gari lake na SportPesa
YUSUPH Jacksoni Murimi(29), Mkazi wa Serengeti jana alikabidhiwa rasmi gari yake aina ya Renault Kwid mara baada ya kuibuka mshindi kwenye promosheni ya Faidikana Jero.
Promosheni ya Faidika na Jero ilidumu kwa siku 40…
