The House of Favourite Newspapers

Paul Makonda Azungumza na Watendaji wa jiji la Dar

1

 Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Paul Makonda akizungumza na wenyeviti na maofisa watendaji wa jiji hilo leo katika Ukumbi Wa Mwalimu Nyerere asubuhi kuhusu mambo mbalimbali hasu suala la usafi wa mazingira.
 Katibu Tawala wa Mkoa wa Dar es Salaam, Theresia Mmbando akiongoza mkutano huo.
 Mkuu wa Wilaya ya Ilala, Raymond Mushi akizungumza katika mkutano huo.
 Mkuu wa Wilaya ya Temeke, Sophia Mjema akizungumza katika mkutano huo.
 Mwakilishi wa Taasisi ya Wakala wa Upimaji Ardhi Tanzania, Linus Kinyondo akizungumzia suala zima la ujenzi wa nyumba kwa kuzingatia mipango miji ili kutunza mazingira.
 Wenyeviti na maofisa watendaji wakimsikiliza Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam Paul Makonda (hayupo pichani)
Maofisa Watendaji na Wenyeviti wa Manispaa ya Kinondoni wakipiga makofi kwenye mkutano huo.
Na Mtandao wa habari za jamii
1 Comment
  1. master emanuel j bunuma says

    hapa kazi tu ni mwendo mdundo hakuna utani hapa

Leave A Reply