The House of Favourite Newspapers

Pawa Yako kushinda Milioni 65 Hata Bila ya Kushinda bet yako hapa betPawa

0

BetPawa inakupatia nafasi mbili zaidi  kushinda kiasi kikubwa hata kama bet yako haijashinda, katika gawio letu la milioni 500.

Kila wiki droo hutoa washindi wa zawadi za pesa taslimu zaidi ya 6500, unachotakiwa kufanya ili kuingizwa kwenye droo ni kuweka walau mkeka mmoja kufikia siku ya jumapili. Katika wiki hii zawadi  ya juu ni shilingi milioni 15.

 

Wiki ijayo ambayo itakua wiki ya mwisho ya gawio ina zawadi maalumu ya shilingi milioni 65. Unaweza kushinda zawadi zote kwa kuweka mkeka kuanzia shilingi 1.

Wateja wa betPawa tayari wameshinda shilingi milioni 300 katika zawadi za gawio. Mshindi wa kwanza wa shilingi milioni 15 Jafari, alisema ‘’Nilifurahi na nilikua nimechanganyikiwa kwa wakati mmoja. Mtu wa kwanza kumwambia alikua baba mdogo wangu. Nilikaa nae chini na kumuelezea juu ya ushindi wangu.’’

 

Mshindi wa milioni 15 nyingine, Bosco alishangazwa na kusema, ‘’Yaani bado siwezi kuamini nimeshinda. Siwezi kuamini nimeshinda kiasi hichi.’’

Siamini kama nimeshinda kiasi kikubwa ndio lilikua neno la kwanza kutoka kwa Lugano kutoka Arusha ‘’ Nilikua na furaha sana kwa kuwa katikati ya kazi nilipokea simu kunijulisha nimeshinda shilingi milioni 15.


Sasa ni zamu yako. Gundua Pawa yako ya kucheza kwa kiasi kidogo na kushinda kiasi kikubwa kwa kujiunga na betPawa leo. Weka bet yako hado kufikia Jumapili na unaweza kuwa mshindi wa droo ya milioni 15. Ingia tena katika droo wiki ijayo na ushinde hadi shilingi milioni 65.

Leave A Reply