The House of Favourite Newspapers

PICHA: BODIGADI MPYA WA RAIS ALIVYOKARIBISHWA IKULU

Mkurugenzi wa Mawasiliano ya Rais Ikulu, Gerson Msigwa akimkaribisha Ikulu, Msaidizi Mpya wa Rais Dkt. John Magufuli, Kanali Mlunga ambaye amechukua nafasi ya Mbaraka Mkeremy aliyepandishwa cheo na kuwa Brigedia Jenerali.

 

Gerson Msigwa akimuaga aliyekuwa msaidizi wa Rais, Mbaraka Mkeremy aliyepandishwa cheo na kuwa Brigedia Jenerali.

 

Mkeremy, Msigwa na Mlunga katika picha ya pamoja.

 

Comments are closed.