MWILI wa aliyekuwa mwanafunzi wa Chuo cha Taifa cha Usafirishaji (NIT), Akwilina Akwilini umezikwa nyumbani kwa wazazi wake kijiji cha Olele wilayani Rombo mkoani Kilimanjaro.
Akwilina leo Februari 23, 2018 saa 8:45 mchana huku mamia ya waombolezaji baada ya kumalizika kwa ibada ya mazishi iliyofanyika Kanisa Katoliki la Mtakatifu Theresia, Parokia ya Olele.
Mwili wa Akwilina uliagwa jana Alhamisi katika viwanja vya NIT vilivyopo Mabibo, Dar es Salaam na kusafirishwa kwenda kijini kwao.
PICHA NA VICTOR MOSHI | GLOBAL TV, ROMBO
Comments are closed.