Harmorapa Ampokea Msanii wa Kimataifa Aliyefika Nchini kwa Ajili ya Kufanya Nae Kolabo
MWANAMUZIKI wa kimataifa ‘Kroctics’, kutoka Ubelgiji yupo nchini kwa ziara yake ya kizazi na msanii wa Bongo Fleva mwenye umaarufu mkubwa katika mitandao hapa nchini Harmorapa.
Kroctics amevutiwa na Harmorapa baada ya kuona n msanii mwenye mashabiki wengi katika mitandao ya jamii na kuamua kumfungia safari mkali huyo.
Comments are closed.