Pichaz: Mastaa Walivyonoga Kwenye Video Launch ya SHUGA ya Mimi Mars
Tarehe 17 Februari 2017, Club Next Door iliyopo jijini Dar es salaam ilishuhudia uwepo wa mastaa kutoka Bongo Flevani ambao walijitokeza kushow love kwa mwanadada Merianne Mdee maarufu kama Mimi Mars ambaye kwa mara ya kwanza alikuwa anazindua kazi yake ya kwanza ‘SHUGA’ kama msanii mpya wa Bongo Fleva.
Hapa chini ninzao picha za baadhi ya mastaa waliojitokeza kumsupport Mimi Mars kwenye usiku wake muhimu.
Elias Barnabas.
Feza Kessy
Merianne Mdee – Mimi Mars
Shettah
Mtangazaji wa Clouds FM – Perfect Crsipin
Barnaba, Shettah & Mimi Mars.
Feza Kessy
Quick Rocka
Rosa Ree
Merianne Mdee – Mimi Mars ni mdogo wa msanii wa kike kutoka Bongo Flevani Vanessa Mdee na pia ni msanii wa kwanza aliye chini ya lebo ya Mdee Music.
PICHA ZOTE NA MUSA MATEJA | GLOBAL PUBLISHERS
Comments are closed.