Uongozi wa Mfuko wa Hifadhi ya Jamii kwa Watumishi wa Umma (PSSSF), umetembelea ofisi za Global Group zilizopo Sinza Mori kwa ajili ya kutoa Elimu kwa wananchi juu ya Huduma zitolewazo na Mfuko huo.
Akizungumza na +255 Global Radio Meneja Kiongozi Uhusiano na Elimu kwa Uma PSSSF, Eunice Chiume amesema utaratibu ni kufanya uhakiki kila mwaka kwa wastaafu wa mfuko huo.
PSSSF Imeundwa kupitia Mifuko ya Pensheni minne ambayo ni Mifuko ya PSPF, LAPF, PPF na GEPF na kuunda Mfuko mmoja kwa ajili ya Watumishi wa Umma unaojulikana kama Mfuko wa Hifadhi kwa Watumishi wa Umma.
PICHA: MUSA MATEJA | GPL
Global Publishers and General Enterprises Limited is a registered private company dealing in publishing of weekly Swahili newspapers in Tanzania, namely; Uwazi, Ijumaa, Championi, Amani, Risasi & Ijumaa Wikienda.
Comments are closed.