The House of Favourite Newspapers

Q-chillah, khadjanito, Mb Dog kukinukisha Jumapili

0

IMG-20160128-WA0016Jumapili hii katika Ukumbi wa Billicanaz wasanii,  Abubakar Katwila ‘Q-Chillah, Mb Dog, Khadja Nito, Amo Genius, Shalvin, Med na Udsm Xband watakinukisha ile mbaya katika utambulisho wa bendi yao mpya ya Qs International Music.

Wasananii wengine watakaosindikiza utambulisho huo ni Chaz Baba, Juma Nature, Bushoke, Abdul Misambano na Banana Zorro.

 

 

Leave A Reply