Rais Dkt. Samia Akishiriki Maadhimisho Ya Siku Ya Sheria Nchini (Picha + Video)

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Samia Suluhu Hassan Akishiriki Maadhimisho ya Siku ya Sheria Nchini, Viwanja vya Chinangali-Park Dodoma, leo tarehe 03 Februali, 2025.

