The House of Favourite Newspapers

Rais Dkt. Samia Akiwaapisha Majaji Wa Mahakama Wa Rufani (Picha +Video)

Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan awaapisha Majaji wa Mahakama ya Rufani Ikulu Chamwino Mkoani Dodoma, tarehe 22 Januari, 2025.
Rais Samia akizungumza na Viongozi mbalimbali mara baada ya kuwaapisha Majaji wa Mahakama ya Rufani .

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, DKt. Samia Suluhu Hassan Akiwaapisha Majaji wa Mahakama ya Rufani, Ikulu Chamwino Dodoma, leo tarehe 22 Januari, 2025

Majaji walio apa ni: Jaji George Mcheche Masaju, Jaji Dkt. Ubena John Agatho, Jaji Dkt. Deo John Nangela, Jaji Latifa Alhinai Mansoor.

Majaji wa Mahakama ya Rufani wakila Kiapo cha Maadili kwenye hafla iliyofanyika Ikulu Chamwino Mkoani Dodoma tarehe 22 Januari, 2025.
Rais Dkt. Samia akiwa kwenye hafla ya kuwaapisha Majaji wa Mahakama ya Rufani, Ikulu, Chamwino Mkoani Dodoma.