The House of Favourite Newspapers

Rais Samia Ampokea Rais Wa Jamhuri Ya Msumbiji Ikulu Dar – (Picha +Video)

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Samia Suluhu Hassan ampokea Rais wa Jamhuri ya Msumbiji Ikulu Dar es Salaam, leo tarehe 8 Mai, 2025.

Rais wa Jamhuri ya Msumbiji, Mhe. Daniel Francisco Chapo akikagua Gwaride la heshima lililoandaliwa na Jeshi la Wananchi wa Tanzania (JWTZ) katika viwanja vya Ikulu Jijini Dar es Salaam tarehe 08 Mei, 2025.
Rais Samia akimpokea mgeni wake Rais wa Jamhuri ya Msumbiji, Daniel Francisco Chapo mara baada ya kuwasili katika viwanja vya Ikulu.