Rais Samia Azindua Mradi Wa Mkakati Wa Treni Ya Umeme SGR – (Picha +Video)
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt Samia Suluhu Hassan Azindua Rasmi Mradi wa Mkakati wa Treni ya Umeme ya SGR Dar es Salaam hadi Dodoma, leo tarehe 1 Agosti, 2024.