The House of Favourite Newspapers

Rais Edgar Lungu Ashinda Uchaguzi Zambia

0

lungu new

Rais Edgar Lungu.

RAIS Edgar Lungu ametangazwa kuwa mshindi katika uchaguzi wa urais nchini Zambia kwa kupata asilimia 50.35 ya kura na kumshinda mpinzani wake, Hakainde Hichilema aliyepata asilimia 47.67.

Chama Kikuu cha Upinzani, UPND kimepinga matokeo hayo na kudai kura zimeibiwa.

Hakainde Hichilema ambae ni mara yake ya tano kugombea urais anadai kuwepo kwa udanganyifu wakati wa upigaji kura siku ya Alhamisi.

Leave A Reply