Rais Magufuli Akutana Na Mkurugenzi Mstaafu Wa Usalama Wa Taifa
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Dkt. John Pombe Magufuli leo amekutana na Bw. Apson Mwang’onda Mkurugenzi Mkuu Mstaafu wa Idara ya Usalama wa Taifa, alipomtembela Ikulu jijini Dar es Salaam.
PICHA NA IKULU
Comments are closed.