Magufuli Aongoza Kikao Cha Kamati Kuu Ya CCM Dar Leo
KAMATI Kuu ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) leo imekutana jijini Dar es Salaam kujadili masuala mbalimbali ya chama hicho chini ya Mwenyekiti wake Rais John Magufuli na Katibu Mkuu, Abdulrahman Kinana. Miongoni mwa wajumbe wa kamati hiyo waliohudhuria ni Rais wa Zanzibar Dkt. Ali Mohammed Shein.