JPM Awashukuru Viongozi wa Dini Kwa Kuomba dhidi ya Corona -Video
Rais Magufuli leo Juni 7, 2020 amewashukuru Viongozi wa Dini na Watanzania wote kwa kuitikia wito wa kumuomba Mwenyezi Mungu aepushe janga la ugonjwa wa homa ya mapafu unaosababishwa na virusi vya Corona (Covid-19) akiwa Kanisa Katoliki Parokia ya Mtakatifu Bikira Maria Imaculata Chamwino Ikulu mkoani Dodoma.