Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli na Mkewe, Mama Janeth Magufuli leo wameungana na waumini wengine kushiriki Ibada ya Misa Takatifu, Dominika ya 19 ya mwaka A wa Kanisa, katika Kanisa Kuu la Mtakatifu Joseph jijini Dar es Salaam.