Rais Samia Afanya mazungumzo na Rais wa Ufaransa Emmanuel Macron – Video






Rais wa Tanzania, Dkt. Samia Suluhu Hassan amekutana na kufanya mazungumzo na Mwenyeji wake Rais wa Ufaransa Emmanuel Macron katika Ikulu ya Paris nchini Ufaransa Mei 14, 2024.