Rais wa Tanzania Mhe.Samia Suluhu Hassan amemteua Bi. Mtumwa Khatib Ameir kuwa Makamu Mwenyekiti wa Bodi ya Mamlaka ya Usafiri wa Anga Tanzania (TCAA). Bi. Mtumwa Khatib ni Afisa Mtendaji Mkuu na Msimamizi wa Hakimiliki Zanzibar.
Global Publishers and General Enterprises Limited is a registered private company dealing in publishing of weekly Swahili newspapers in Tanzania, namely; Uwazi, Ijumaa, Championi, Amani, Risasi & Ijumaa Wikienda.